Je City watawahi Madrib Bila Kompany
Nahodha
wa Man City amewarai wachezaji pamoja na mashabiki kuwa pamoja watakapo
wakabiri Madrid ugani Etihad.
City wanawaribisha
mazimwi hao wa Liga kwa mechi ya ufunguzi wa mkondo wa nusu fainali yao ya
kwanza katika dimba la Champions League leo Jumanne baaa ya kuwaangusha Paris Saint-Germain kwenye
kikosi cha nane bora
Kevin De
Bruyne alikuwa mshindi wa City baada ya kufunga bao la uamuzi la 1-0 dhidi PSG mapema
mwezi huu. Kompany amesema kuwa kabla ya mechi kuanza kwamba niwakati mwafaka wa kikosi cha Pellegrini
kupata upato na upeo wa juu.
"Natamani
kucheza mchezo bora kesho lakini tunatarajia makubwa kutoka kwa wachezaji
wenzetu," alisema beki huyo wa kati.
"Nafikiri
tuna msukumo moja . Hatuwezi shindwa kufikia kiwango chetu bora.
" Kucheza
dhidi ya wachezaji hao wa hadhi, hilo ndilo tunalolitaka. Na hakuna siku hata moja kwa maisha yangu nimewahi kufikiria
kuwa haya yanaweza nitia wasi wasi au kuwa ngumu. Nataka hili mimi mwenyewe na
wachezaji wote wanataka hili.
Mabingwa
hao wa ligi kuu watapata motisha kutoka kwa mashabiki wa nyumbani Manchester na
Kompany anaamini kwamba kuwa mashabiki watakuwa na jukumu kubwa sana kwa
kuwatia joto.
Hata
hivyo kuna tashwishi kwamba Kompany atakuwa kikosinibaada ya kuuguza jeraha la
misuri ya mguu lakini hilo halimbabaishi kamwe.

0 comments:
Post a Comment